WAKULIMA WARIDHISHWA NA BEI YA ZAO LA PAMBA SIMIYU

Na Barnabas Kisengi, Simiyu Baadhi ya Wakulima wa zao la Pamba Wilayani Maswa mkoani Simiyu wakizungumza kwa nyakati tofauti na  Mtandao huu  ,akiwemo Diwani wa viti Maalum tarafa ya Sengerema, Maswa Julieth Mongo wamesema hali ya soko ya zao la pamba inaridhisha ikilinganishwa na kipindi cha nyuma ambapo bei ya zao hilo ni Tsh.1400 hadi 1500